Deuteronomy 2:26-27

Kushindwa Kwa Sihoni Mfalme Wa Heshboni

(Hesabu 21:21-30)

26 aKutoka jangwa la Kedemothi nilituma wajumbe wenye maneno ya amani kwa Sihoni mfalme wa Heshboni kusema, 27 b“Turuhusu tupite katika nchi yako. Tutapita katika barabara kuu, hatutageuka kuume wala kushoto.
Copyright information for SwhNEN